huku dai lao kuu ni kwamba wanakosa ajira hapo nchini kwao wao kama wazawa na ajira zote zinachukuliwa na wageni , hivyo wanafanya msako na kuwa ua kwa kuwachinja pamoja na kuwachoma moto wahamiaji bila a kujali wanawakwe watt au wazee..
jionee picha mwenyewe.
yanayo fanywa na wasauzi si mambo ya kuigwa na taifa lolote lile. MUNGU WANUSURU WATANZANIA WALIOKO HUKO PAMOJA NA WAHAMIAJI WENGINE WOTE.
No comments:
Post a Comment